OLE Gunnar Solskjaer, Meneja wa Manchester United hana shaka endapo dili la Romelu Lukaku kujiunga na Juventus litatimia kwa ajili ya msimu ujao.
Meneja huyo anajivunia uwepo wa nyota kama Marcus Rashford, Anthony Martial na kinda Mason Greenwood ambao anaamini ni mbadala sahihi wa Lukaku.
Pia anamtaka Dybala ndani ya kikosi chake kwa kuwa anaamini ana aina ya mtindo anaoupenda.
Maurizio Sarri, Meneja wa Juventus anahitaji kuwa na Lukaku ili ampe jezi namba 9, mshahara wake unatajwa kuwa pauni milioni 8.2 kwa wiki pamoja na bonasi.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.