SELEMAN Matola Kocha wa Polisi Tanzania amesema kuwa bado wachezaji wawili ili akamilishe kukisuka kikosi chake kipya.
Matola amesema kuwa hadi sasa amesajili wachezaji 11 kati ya 13 aliokuwa anawahitaji kuelekea msimu ujao wa Ligi Kuu Bara.
“Nahitaji kuwa na kikosi imara na kitakacholeta ushindani msimu ujao, kwa sasa zimebaki nafasi mbili tu ili kukamilisha usajili,” amesema.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.