Home Uncategorized PICHA YA TAWI LA SIMBA LA BANDARI KAVU-KWALA ILIYOZUA GUMZO HII HAPA

PICHA YA TAWI LA SIMBA LA BANDARI KAVU-KWALA ILIYOZUA GUMZO HII HAPA

KUELEKEA SportPesa Simba wiki inayotarajiwa kufanyika Agosti 6 uwanja wa Taifa mambo yamezidi kupamba moto ambapo hamasa imekuwa ni ya juu huku matawi mengi yakipania kufanya makubwa.

Tawi la Simba la Banadari Kavu-Kwala lililopo Wilaya ya Kibaha mkoani Pwani limezua gumzo kutokana na aina ya ubunifu wake na mchoro wake ulivyo lipo namna hii:-

SOMA NA HII  JEURI YA PESA..!! SIMBA YAZUIA NYOTA WAKE 10 KUSEPA