INAELEZWA kuwa beki wa timu ya Simba, Juuko Murshid yupo mbioni kujiunga na klabu ya Wydad Casablanca kwa kandarasi ya miaka miwili.
Nyota huyo anayekipiga timu ya Taifa ya Uganda Uganda inaelezwa kwa sasa yupo Morocco ili kukamilisha dili hilo.
Uongozi wa Simba ulieleza kuwa mkataba wake ndani ya Simba bado unaendelea na walimwandikia barua ya kumrejesha kwenye kikosi.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.