Home Uncategorized BEKI KISIKI WA SIMBA KUTIMKIA MOROCCO

BEKI KISIKI WA SIMBA KUTIMKIA MOROCCO


INAELEZWA kuwa beki wa timu ya Simba, Juuko Murshid yupo mbioni kujiunga na klabu ya Wydad Casablanca kwa kandarasi ya miaka miwili.

Nyota huyo anayekipiga timu ya Taifa ya Uganda Uganda inaelezwa kwa sasa yupo Morocco ili kukamilisha dili hilo.


Uongozi wa Simba ulieleza kuwa mkataba wake ndani ya Simba bado unaendelea na walimwandikia barua ya kumrejesha kwenye kikosi.

SOMA NA HII  JE JUMAPILI NI SIKU YA SIMBA!? DABI HII KUAMUA KILA KITU