KAZI imeanza, timu ya Polisi Tanzania imetambulisha uzi mpya ambao utatumika msimu ujao kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara.
Polisi Tanzania ipo chini ya Kocha, Seleman Matola na ni miongoni mwa timu ambazo zitashriki Ligi Kuu Bara msimu ujao.
Ofisa Habari wa Polisi Tanzania, Frank Lukwaro amesema kuwa watatumia rangi ya Blue wakiwa nyumbani na watatumia rangi nyeupe wakiwa ugenini kwa msimu wa mwaka 2019/2020.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.