MCHEZO wa Ligi ya Mabingwa kwa sasa hatua ya awali ukiwa ni wa marudo uwanja wa Taifa ni kati ya Simba na UD do Songo.
Simba ipo nyuma kwa bao 1-0 ambalo limefungwa na wapinzani wao dakika ya 14 kupitia kwa Luis Misquissone.
Dakika ya 25 Kagere alifunga bao, mwamuzi alisema ni la kuotea., mashabiki waliojitokeza Taifa ni wengi .
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.