Home Uncategorized LIVE: SIMBA 0-1 UD do SONGO

LIVE: SIMBA 0-1 UD do SONGO

MCHEZO wa Ligi ya Mabingwa kwa sasa hatua ya awali ukiwa ni wa marudo uwanja wa Taifa ni kati ya Simba na UD do Songo.

Simba ipo nyuma kwa bao 1-0 ambalo limefungwa na wapinzani wao dakika ya 14 kupitia kwa Luis Misquissone.

Dakika ya 25 Kagere alifunga bao, mwamuzi alisema ni la kuotea., mashabiki waliojitokeza Taifa ni wengi .

SOMA NA HII  RATIBA YA LIGI KUU BARA RAUNDI YA PILI IPO NAMNA HII