KLABU ya Juventus imekasirishwa na maamuzi ya Kocha wao, Maurizio Sarri kukataa kuacha kuvuta sigara licha ya kusumbuliwa na ugonjwa wa mapafu.
Sarri mwenye umri wa miaka 60 amekosa mechi mbili za timu yake lakini hajawa tayari kuacha kuvuta Sigara.
Inaelezwa kuwa kocha huyo wa zamani wa Chelsea ana uwezo wa kuvuta sigara 80 kwa siku.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.