Bodi ya Ligi limevifungia viwanja vitatu vinavyotumia katika mechi za Ligi Kuu Bara.
Viwanja hivyo ni:- Uwanja wa Mwadui (Shinyanga), Manungu (Morogoro) na Mabatini (Pwani).
Viwanja vivyo vimefungiwa kutumika katika msimu wa Ligi Kuu Bara 2019/20 hadi hapo vitakapofanyiwa marekebisho.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.