AZAM FC iliyo chini ya Kocha Mkuu Arstica Cioaba, mwezi Januari,2020 imeweka rekodi ya kucheza mechi tano bila kupoteza mchezo .
Kwenye mechi tano ilizocheza sawa na dakika 450 haijaruhusu nyavu zake kutikiswa kwenye mechi tatu huku ikilazimisha sare moja pekee.
Imeshinda jumla ya mechi nne ilizocheza na mwezi Februari ilianza kwa kutoshana nguvu na Mbeya City kwa kufungana bao 1-1, Uwanja wa Samora.
Kesho Jumatano, Februari,5 itakuwa na kibarua cha kumenyana na Tanzania Prisons ambayo ilishinda mchezo wake wa kwanza mwezi Februari mbele ya KMC kwa bao 1-0.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.