Timu ya Azam FC leo Februari 19, imekwenda kujitambulisha kwa Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mh. Godfrey Zambi.
Msafara wa Azam FC kwenda kwa Zambi, uliongozwa na Meneja Masoko wa timu hiyo, Tunga Ally, Kocha Msaidizi, Idd Nassor Cheche na Ofisa Habari, Jaffar Idd.
Azam FC ina kibarua cha kumenyana na Ndanda FC ya Mtwara mchezo utakaochezwa Uwanja wa Nangwanda Sijaona.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.