ALLIANCE FC iliyo nafasi ya 14 kwenye msimamo ikiwa na pointi 21 baada ya kucheza mechi 35 haijawahi kusepa na pointi tatu mbele ya Simba.
Imepanda daraja msimu wa 2018/19 ambapo Kwenye mechi yao ya Kwanza walionja joto ya jiwe kwa kunyooshwa mabao 5-1.
Mchezo wa pili ikanyooshwa mabao 2-0. Msimu wa 2019/20 mchezo wa kwanza, Uwanja wa Kirumba, Simba ilishinda mabao 4-1.
Jumla Simba imeifunga Alliance mabao 11 na imefungwa mabao mawili ndani ya mechi tatu na kesho wanakutana Uwanja wa Taifa.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.