Uongozi wa Kagera Sugar FC umetuma salamu za pole kwa mchezaji wa zamani wa timu ya Taifa ya Tanzania, Nizar Khalfan kutokana na kufiwa na mke wake.
Nizar anayekipiga kwa sasa Rhino Rangers amepatwa na msiba huo jana, Jumapili, wakati timu yake ilipokuwa kwenye maandalizi ya mchezo wa Ligi Daraja la Kwanza dhidi ya Sahare.
Kocha Mkuu wa Kagera Sugar amesema kuwa wameguswa na msiba huo na kumuombe kheri katka kipindi hiki kigumu.
Kwa mujibu wa Kocha Mkuu wa Rhino Rangers, Bakari Malima amesema kuwa taarifa alizokuwa anazitambua kuhusu ugonjwa aliokuwa anasumbuliwa nao mke wa Nizar ni ‘stroke’.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.