UONGOZI wa Simba umesema kuwa maadalizi yao ya mchezo wa kesho dhidi ya Biashara United yapo sawa ni suala la wakati tu kutimiza malengo waliyojiwekea.
Simba itaikaribisha Biashara United iliyo chini ya Kocha Mkuu, Francis Baraza kwenye mchezo wa Ligi Kuu utakaochezwa Uwanja wa Taifa majira ya saa 1:00 usiku.
Akizugumza na Saleh Jembe, Meneja wa Simba, Patrick Rweyemamu amesema kuwa hali za wachezaji zipo sawa wana imani watafanya vizuri mbele ya Biashara United.
“Wachezaji wanatambua wajibu wao hivyo suala la morali ni kazi yao kutimiza majukumu ndani ya Uwanja, mashabiki wajitokeze kwa wingi uwanjani kuipa sapoti timu yao,” amesema.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.