Home Uncategorized MVUA YATIBUA MIPANGO YA POLISI TANZANIA V MTIBWA SUGAR

MVUA YATIBUA MIPANGO YA POLISI TANZANIA V MTIBWA SUGAR


 MCHEZO wa Ligi Kuu Bara kati ya Polisi Tanzania na Mtibwa Sugar uliokuwa leo majira ya saa 10:00 umeahirishwa hadi kesho saa 3:00 asubuhi.

Mchezo huo umeahirishwa kutokana na mvua iliyonyesha muda mfupi kabla ya mchezo kuanza uwanja wa Ushirika Mosi ambao umejaa maji.

SOMA NA HII  SIMBA YATOA TAMKO KUHUSU KUFUNGA BAO LA KUOTEA