Home Uncategorized MKHITARYAN HUENDA AKASEPA NDANI YA ARSENAL

MKHITARYAN HUENDA AKASEPA NDANI YA ARSENAL


HENRIKH Mkhitaryan nyota wa timu ya Arsenal anayekipiga ndani ya Klabu ya Roma kwa mkopo huenda akabaki jumla kikosini humo iwapo watamhitaji.

Nyota huyo mwenye miaka 31 alizaliwa Januari 21,1989 inaonyesha kuwa Kocha Mkuu wa sasa wa Arsenal, Mikel Arteta hana mpango naye.

Mkhitaryan mwenye urefu wa m 1.78 anacheza nafasi ya kiungo mshambuliaji ni nahodha wa timu ya Taifa ya Marekani lakini ana uwezo pia wa kucheza winga wa pembeni. 

Ndani ya Serie A, nyota huyo amecheza mechi 13 na ametupia mabao sita huku akitoa pasi tatu za mabao na amecheza mechi nne za Europa.


SOMA NA HII  SASA NI BAYERN MUNICH V PSG FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA, WOTE MWENDO WA 3-0