PIERRE-Emerick Aubameyang nahodha wa Arsenal alifungua pazia la kutupia mbele ya Newcastel United kwenye mchezo wa Ligi Kuu England wakati wakiibuka na ushindi wa mabao 4-0 alianza kufanya hivyo dakika ya 54.
Dakika mbili mbele Nicolas Pepe aliongeza msumari wa pili mbele ya Newcastel United dakika ya 57 na Mesut Ozil aliendeleza balaa dakika ya 90 kwa kupachika bao la tatu na ndani ya dakika za nyongeza msumari wa nne ulikomelewa.
Alexandre Lacazette alimalizia dakika ya 90+5 kupachika bao la nne ambalo liliwapa pointi tatu jumla Arsenal.
Kwenye msimamo ipo nafasi ya 10 ikiwa na pointi 34 huku Newcastel United ikiwa nafasi ya 13 na pointi 31 zote zimecheza jumla ya mechi 26.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.