Home Uncategorized MORRISON: MUHIMU KUJIWEKA FITI NA KUCHUKUA TAHADHARI

MORRISON: MUHIMU KUJIWEKA FITI NA KUCHUKUA TAHADHARI


BERNARD Morrison, kiungo mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa kazi kubwa kwa sasa ni kujiweka fiti ilikuwa imara.

Morrison amekuwa kwenye ubora wake licha ya kucheza kwa muda mfupi baada ya kujiunga na Yanga akitokea nchini Ghana tayari amefunga mabao matatu kwenye ligi.

Kwa sasa Ligi Kuu Bara imesimama kwa muda ili kupisha maambukizi ya Virusi vya Corona.

“Muhimu kwa kila mmoja kuchukua tahadhari na kufanya mazoezi kwa wachezaji kwa sasa tunapitia kipindi kigumu lakini ni lazima tuungane kufanya ibada na kufuata kanuni za afya,” .

SOMA NA HII  SIMBA KUWAFUATA WAPINZANI WAO NA WACHEZAJI 22 KIMATAIFA