JUVENTUS imepanga kumshusha kikosini winga wa Chelsea Willian Borges da Silva, lakini nyota huyo wa Brazil amegomea dili hilo
Inaelezwa kuwa nyota huyo hataki kujiunga na Juventus kwa kuhofia kiwango chake kushuka chini ya Kocha Mkuu, Maurizio Sarri.
Sarri alikuwa Kocha wa nyota huyo mwenye miaka 31 kwa sasa ambaye anaamini akitua Juve atashuka kiwango.
Anahitaji kuongezewa mkataba wa miaka miwili lakini Chelsea wanataka kumpa mwaka mmoja jambo ambalo hakubaliani na mabosi wake hao.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.