BEKI kisiki wa Inter Milan Diègo Godin ameingia kwenye anga za kuwindwa na Spurs pamoja na Manchester United.
Godin hajawa na maisha mazuri ndani ya Inter Milan kwa kukosa nafasi ya kudumu kikosi cha kwanza chini ya Kocha Mkuu Antonio Conte ambaye amekuwa akimsifu kuwa ni beki bora.
Ndani ya Serie A akiwa na Conte amefanikiwa kucheza mechi 16 huku beki tegemeo wa kati akiwa ni Alessandro Baston.
Tayari nyota huyo ameanza kupiga hesabu za kusepa ndani ya Serie A na chaguo lake ni Manchester United.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.