ZOEZI la kutafuta kikosi cha mashabiki kwa msimu wa 2019/2020 lilipamba moto kupitia ukurasa wa Instagram wa mtangazaji wa Azam TV, Baraka Mpenja ambapo ilikuwa ni fursa kwa mashabiki kuchagua wachezaji ambao wanana wanastahili kuingia kikosi cha kwanza.
Mpenja amesema kuwa haikuwa kazi rahisi kutokana na ushindani kuwa mkubwa, miongoni mwa nafasi ambazo zilikuwa na ushindani mkubwa ilikuwa ni ya kiungo wa Azam FC, Sure Boy na yule wa Yanga, Haruna Niyonzima.
Hiki hapa kikosi kamili:-
Mlinda mlango ni Aishi Manula wa Simba
Mlinda mlango ni Aishi Manula wa Simba
Shomari Kapombe wa Simba
Mohamed Hussein wa Simba
Pascal Wawa wa Simba
Erasto Nyoni wa Simba
Jonas Mkude wa Simba
Luis Miquissone wa Simba
Salum Abubakar wa Azam FC
Medie Kagere wa Simba
Clatous Chama wa Yanga
Bernard Morrison wa Yanga
Kocha amechaguliwa Sven Vandernbroeck (Simba SC)
.
🙏Asante nyote kwa kushiriki zoezi hili, ambalo limetuweka pamoja🙏…
.
Cc: Mratibu @rashid_seif1