IMANI kubwa ya Saleh Jembe kuhusu timu kubwa za soka Bongo ambazo zinafuatiliwa kwa ukaribu ambazo ni Simba na Yanga sio maadui bali ni upinzani wa kawaida ambao unaendelea kila siku.
Jembe ameyasema hayo leo, Mei 5, ndani ya studio za E Fm kwenye kipindi cha michezo.
Jembe amesema:”Simba na Yanga ni miongoni mwa timu zenye mashabiki wengi na zinafuatiliwa kwa ukaribu lakini hakuna uadui katika timu hizi.
“Simba na Yanga zote zinatokea Tanzania na zinajenga mpira wa Tanzania pamoja na kukuza nchi ya Tanzania bila kujali wewe ni shabiki wa timu gani,”.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.