KOCHA Mkuu wa Coastal Union, Juma Mgunda amesema kuwa kesho, Juni 13 itakuwa ni kazi moja tu kuendelea pale walipoishia kwenye mechi za ligi kwa kusaka pointi tatu mbele ya Namungo FC.
Coastal Union itamenyana na Namungo Uwanja wa Mkwakwani Tanga mchezo wa ligi utakaochezwa majira ya saa 10:00 jioni.
Mgunda amesema:”Hatukuwa kwenye ushindani kwa muda mrefu ila ni muhimu kuendelea pale ambapo tuliishia ili kuona namna gani tutaendelea kuwa bora.
“Wapinzani wetu ni timu imara ila hakuna namna nasi pia tupo imara kutafuta ushindi,”
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.