MASHABIKI wamejitokeza kwa wingi Uwanja wa Jamhuri, Dodoma kushuhudia burudani ya mechi ya Ligi Kuu Bara inayotarajiwa kuanza muda mfupi ujao.
Leo Juni 17, JKT Tanzania atakuwa mwenyeji wa Yanga kwenye mchezo wa ligi utakaochezwa majira ya saa 10:00.
Hali ilivyo uwanjani ni namna hii huku tahadhari ikiwa imefika hatua hii dhidi ya Virusi vya Corona.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.