Home Uncategorized HIZI HAPA ZA LEO LIGI KUU TANZANIA BARA ZIPO NAMNA HII

HIZI HAPA ZA LEO LIGI KUU TANZANIA BARA ZIPO NAMNA HII


JKT Tanzania itamenyana na Mbao FC, Uwanja wa Jamhuri.

Lipuli FC itamenyana na Azam FC, Uwanja wa Samora.

Simba itamenyana na Alliance FC, Uwanja wa Taifa.

Mechi zote zitapigwa majira ya saa 10:00 jioni

SOMA NA HII  SIMBA KUSHUSHA WINGA MATATA