RASMI sasa Uwanja wa Taifa wa Dar es Salaam umebadilishwa jina na utaitwa Uwanja wa Benjamin Mkapa.
Leo, Julai 28,2020, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Magufuli amesema hayo wakati akitoa hutoba kwenye maombolezo ya kumuaga Benjamini William Mkapa aliyekuwa Rais wa awamu ya tatu.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.