Home Uncategorized SAFARI YA NAMUNGO MPAKA KUKUTANA NA SIMBA ILIKUWA NAMNA HII

SAFARI YA NAMUNGO MPAKA KUKUTANA NA SIMBA ILIKUWA NAMNA HII


TUJIKUMBUSHE safari ya Namungo FC mpaka kutinga hatua ya fainali ya Kombe la Shirikisho ilikuwa namna hii:-

Mzunguko wa 64, Namungo FC 1-0 Green Warriors, Desemba 22, Uwanja wa Majaliwa, Lindi.

Mzunguko wa 32 bora, Namungo FC 2-1 Biashara United, Januari 26,Majaliwa Januari 26.

Mzunguko wa 16 bora, Mbeya City 1-2 Namungo FC,Februari 25, Sokoine, Mbeya.

Robo fainali, Namungo 2-0 Alliance FC, Uwanja wa Majaliwa, Juni 30.

Nusu fainali, Julai 11, Sahare All Stars 0-1 Namungo Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.


Agosti 2 itamenyana na Simba, Uwanja wa Nelson Mandela

SOMA NA HII  BREAKING: ROBO FAINALI YA KOMBE LA SHIRIKISHO, SIMBA V AZAM FC