Home Uncategorized AZAM FC YAFUNGA KAZI NA MSHAMBULIAJI WA KIMATAIFA

AZAM FC YAFUNGA KAZI NA MSHAMBULIAJI WA KIMATAIFA

 ALAIN Thiery kutoka nchini Cameroon ni funga kazi ndani ya Azam FC akisaini dili la miaka miwili.

Leo Agosti 24 ametambulishwa ndani ya Klabu ya Azam FC yenye maskani yake Chamazi. 

Nyota huyo ni mshambuliaji akitokea Klabu ya Fortuna Du Mfuo ya Cameroon akiwa ni mchezaji huru.

SOMA NA HII  SIMBA WAPOTEZA KWA KUFUNGWA BAO 1-0 KIMATAIFA NA WAZIMBABWE