Home Uncategorized NDEMLA ASAINI MIAKA MIWILI SIMBA

NDEMLA ASAINI MIAKA MIWILI SIMBA

 

Said Ndemla ametengeneza ushirikiano mkubwa na klabu ya Simba kando ya Jonas Mkude, Said Ndemla ndio mchezaji aliyehudumu mfululizo kwa miaka mingi kuliko mchezaji yoyote yule.

 Ameongeza mkataba wake klabuni kwa muda wa miaka miwili. Leo Agosti 18.

SOMA NA HII  SENZO AKABIDHI OFISI SIMBA