Home Uncategorized KIKOSI CHA YANGA KWA MSIMU WA 2020/21 HIKI HAPA

KIKOSI CHA YANGA KWA MSIMU WA 2020/21 HIKI HAPA


USIKU wa kuamkia leo Agosti 31 dirisha la usajili lilifungwa rasmi baada ya kufunguliwa Agosti Mosi na Shirikisho la Soka Tanzania,(TFF).


Hiki hapa kikosi cha Yanga kwa msimu wa 2020/21

 MAKIPA

 Farouk Shikalo

 Metacha Mnata
 Ramadhan Kabwili

Mabeki
 Paul Godfrey ni beki wa kulia
 Kibwana Shomari beki wa kulia
Yasin Mustafa beki wa kushoto
 Adeyum Saleh beki wa kushoto
 Lamine Moro beki wa kati
Said Makapu beki wa kati
 Bakari Nondo Mwamnyeto beki wa kati
 Abdallah Shaibu Ninja beki wa kati

Viungo

 Zawadi Mauya kiungo mkabaji
 Feisal Toto kiungo mkabaji/Mchezeshaji
 Haruna Niyonzima kiungo mchezeshaji
 Abdulaziz Makame kiungo mkabaji
 Mukoko Tonombe kiungo mkabaji 
 Balama Mapinduzi kiungo mshambuliaji
 Deus Kaseke kiungo mshambuliaji
 Juma Mahadhi kiungo mshambuliaji
Farid Mussa kiungo mshambuliaji
Tuisila Kisinda kiungo mshambuliaji
Carlos Carlinhos kiungo mshambuliaji

Washambuliaji
 Wazir Junior 
 Ditram Nçhimbi
Yacouba Songne 
Michael Sarpong
 Adam Kiombo
SOMA NA HII  BRUNO FERNANDES AZICHANGANYA UNITED, CITY NA CHELSEA