Home Habari za michezo UNAAMBIWA HUYO YAO HAPO JANGWANI NI ZAIDI YA JESHI

UNAAMBIWA HUYO YAO HAPO JANGWANI NI ZAIDI YA JESHI

Habari za Yanga

Jeshi la Wananchi wa Jangwani Yao kouassi Attohoula, Mlinzi wa kulia wa Klabu ya Yanga.

Yao anaweza kulinda upande mmoja wa jangwa peke yake. Atakufanya ushike kichwa kwa masikitiko au kwa mshangao.

Amejaa tele kule pembeni…!Pumzi, kasi, maarifa, maji…Top assist provider kwenye NBC mpaka sasa.

Yao ni miongoni mwa sajili za Yanga zilizoanza na moto wa hali ya juu ndani ya kikosi hicho.

SOMA NA HII  KISA KADI NYEKUNDU KWA TIMU PINZANI...HITIMANA AFICHUA MCHEZO NYUMA YA PAZIA...