Home Habari za michezo UNAAMBIWA HUYO YAO HAPO JANGWANI NI ZAIDI YA JESHI Habari za michezoMichezoMichezo BongoMichezo Soka la BongonewsUncategorizedYanga SC UNAAMBIWA HUYO YAO HAPO JANGWANI NI ZAIDI YA JESHI Share FacebookTwitterPinterestWhatsApp Jeshi la Wananchi wa Jangwani Yao kouassi Attohoula, Mlinzi wa kulia wa Klabu ya Yanga. Yao anaweza kulinda upande mmoja wa jangwa peke yake. Atakufanya ushike kichwa kwa masikitiko au kwa mshangao. Amejaa tele kule pembeni…!Pumzi, kasi, maarifa, maji…Top assist provider kwenye NBC mpaka sasa. Yao ni miongoni mwa sajili za Yanga zilizoanza na moto wa hali ya juu ndani ya kikosi hicho. SOMA NA HII HAJI MANARA WA SIMBA ALA DILI AZAM MEDIA