BEKI wa Klabu ya Ihefu FC, Omary Kindamba atakuwa nje kwa muda wa wiki tatu hadi nne kufuatia nyota huyo kupata majeraha ya mbavu baada ya kuanguka vibaya alipokuwa akiitetea timu yake dhidi ya Biashara, Mara.
Mchezo huo uliochezwa Oktoba 14, Uwanja wa Karume Ihefu ilipoteza kwa kufungwa bao 1-0.