Home Uncategorized TFF YATOA TAMKO KUHUSU NAMNA INAVYOSHUGHULIKIA KESI

TFF YATOA TAMKO KUHUSU NAMNA INAVYOSHUGHULIKIA KESI

 


SHIRIKISHO la Soka nchini (TFF) limeonesha kusikitishwa na baadhi ya taarifa zinazosambaa mitandaoni juu ya namna taasisi hiyo inashughulikia kesi zinazowasilishwa kwake na vilabu mbalimbali.

Aidha TFF itaendelea kusimamia haki kwa vile na taasisi inayoendeshwa kwa misingi na utawala bora, hivyo kama kuna upande hauridhishwi na uamuzi wa vyombo vya chini ya TFF, utaratibu ni kukata rufani ngazi ya juu ya TFF, Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) au Mahakama ya Usuluhishi wa Michezo (CAS).


SOMA NA HII  KAZE KUONGEZA MAJEMBE MENGINE NDANI YA KIKOSI CHA YANGA