Home Uncategorized KIKOSI CHA SIMBA KILICHOKWEA PIPA LEO KUWAFUATA WAZIMBABWE

KIKOSI CHA SIMBA KILICHOKWEA PIPA LEO KUWAFUATA WAZIMBABWE


KIKOSI cha Simba ambacho kimekwea pipa leo Desemba 18 kuifuata FC Platinum ya Zimbabwe. 


Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Desemba 23 nchini Zimbabwe ni wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya kwanza


SOMA NA HII  ISHU YA KUANZA KIKOSI CHA KWANZA KWA NYOTA WA SIMBA IPO HIVI