KLABU ya soka ya Simba imeanza vizuri kampeni yake ya kutetea kombe la FA baada ya kuibamiza Majimaji kutokea Songea mabao 5-0.
Mabao ya Simba yamewekwa kimiani na Gadiel Michael, Chris Mugalu, Luis Miquissone, Meddie Kagere na Ibrahim Ame
KLABU ya soka ya Simba imeanza vizuri kampeni yake ya kutetea kombe la FA baada ya kuibamiza Majimaji kutokea Songea mabao 5-0.
Mabao ya Simba yamewekwa kimiani na Gadiel Michael, Chris Mugalu, Luis Miquissone, Meddie Kagere na Ibrahim Ame