Home Uncategorized KOMBE LA MAPINDUZI:YANGA 0-0 AZAM FC

KOMBE LA MAPINDUZI:YANGA 0-0 AZAM FC

 


NUSU Fainali ya kwanza Kombe la Mapinduzi 

Yanga 0-0 Azam FC 

Uwanja wa Amaan

Dakika ya 22 Yanga wanapata kona ya kwanza

Dakika ya 21 Tigere anapiga kona ya pili kwa Azam FC 

Dakika ya 19 Sebo anapeleka mashambulizi Yanga

Dakika ya 17 Niyonzima anapeleka mashambulizi Azam FC

Dakika ya 14  Kibwana Shomari anapiga shuti ndani ya 18 linakwenda nje ya lango

Dakika ya 13 Sarpong anaotea

Dakika ya 9 Mukoko anapiga faulo haileti bao

Yanga 0-0 Azam FC


Dakika ya 2 Shikalo anaokoa hatari na Azam wanacheza kona ya kwanza.


Dakika ya kwanza Tigere anafanya jaribio linaokolewa na Farouk Shikalo

SOMA NA HII  MOLINGA NYOTA WA ZAMANI WA YANGA AANZA MAZOEZI ZESCO