LEO Januari 13 Yanga itakuwa kwenye mchezo wa kusaka Kombe la Mapinduzi dhidi ya Simba utakaochezwa Uwanja wa Amaan, Cedric Kaze Kocha Mkuu wa Yanga amebainisha namna atakavyoingia kwenye mchezo wa leo:-
LEO Januari 13 Yanga itakuwa kwenye mchezo wa kusaka Kombe la Mapinduzi dhidi ya Simba utakaochezwa Uwanja wa Amaan, Cedric Kaze Kocha Mkuu wa Yanga amebainisha namna atakavyoingia kwenye mchezo wa leo:-