Home Azam FC VIDEO: OBREY CHIRWA MBALI NA MPIRA ANALIMA MATIKITI

VIDEO: OBREY CHIRWA MBALI NA MPIRA ANALIMA MATIKITI

MSHAMBULIAJI wa kikosi cha Azam FC inayonolewa na Kocha Mkuu, George Lwandamina, Obrey Chirwa amesema kuwa mbali na mpira amewekeza kwenye kilimo jambo ambalo limekuwa likimsaidia pia ambapo amesema kuwa analima nyanya, tikiti na karoti. 

 

SOMA NA HII  NI ZAIDI YA KUFRU...GOLIKIPA WA AZAM ASAJILIWA KWA ZAIDI YA TSH ML 600..AZAM HAWAPATI HATA SENTI...