BREAKING: NYOTA wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars aliyekuwa kikosi cha kwanza kilikuwa kinashiriki Cecafa Challenge 2021 U 23.
Leo Agosti 4 ametangazwa rasmi kuwa mali ya Simba baada ya kufikia makubaliano na timu ya Simba.
SOMA PIA :KIUNGO ALIYETEMWA KAGERA SUGAR AFUNGUKA KUSAINI SIMBA MIAKA MITATU
Amepewa dili la miaka mitatu kuitumikia timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu Didier Gomes.