Home kimataifa NI MSIMU MPYA WENYE VIBE JIPYA VIWANJANI, ARSENAL NA CHELSEA KUKIWASHA

NI MSIMU MPYA WENYE VIBE JIPYA VIWANJANI, ARSENAL NA CHELSEA KUKIWASHA

 

Baada ya michezo ya wiki ya kwanza kunako soka barani Ulaya, wiki ya pili hii hapa! Burudani inaendelea wikiendi hii ndani ya viwanja mbalimbali, Meridianbetmambo yapo hivi;

 

Ijumaa hii tunaanzia kule Ubelgiji. Standard Liege kuchuana na KV Oostende kunako First Division A. Unaweza kuianza wikiendi yako kwa kuifuata Odds ya 2.25 kwa Liege ukiwa na Meridianbet.

 

Jumamosi hii tutakuwa pole Villa Park katika muendelezo wa EPL. Aston Villa kuchuana na Newcastle United. Timu zote mbili zilipoteza michezo yao ya kwanza, hii haimaanishi ni wanyonge. Tembelea Odds ya 1.95 kwa Aston Villa ndani ya Meridianbet.

Uhondo wa msimu mpya utanoga zaidi pale Emirate Stadium. Naam! Ni London Derby katika wiki ya pili ndani ya EPL. Arsenal vs Chelsea, vibe la mchezo wa majirani huwa ni burudani ya aina yake. Usipotoshwe na matokeo ya mchezo wa awali, lolote linaweza kutokea kwenye mchezo huu. Meridianbet tumekuwekea Odds ya 1.85 kwa Arsenal jumapili hii.

 

Wikiendi itahitimishwa kwa mtanange wa West Ham United vs Leicester City. Miongoni mwa timu ambazo zinatoa upinzani kwa miamba ya EPL, basi timu hizi hazikosekani kwenye nafasi hizo. Dakika 90 kuamua – ni Brendan Rogers au David Moyes kuondoka na pointi muhimu? Ifuate Odds ya 2.55 ndani ya Meridianbet.

 

Meridianbet, Nyumba Yenye Odds Bora na Bonasi Kubwa!

 

SOMA NA HII  MANCHESTER CITY INAMUHITAJI KANE, GREALISH