Klabu ya Singida Big Stars FC ya mkoani Singida imefanikiwa kuinasa saini ya kiungo Ibrahim Ajibu βMigombaβ kutoka Azam FC Kama mchezaji huru.
——————————————————————
Kiungo wa Azam FC, Kenneth Muguna raia wa Kenya anajiandaa kuachana na klabu hiyo yenye makazi yake Jijini Dar es Salaam pindi mkataba wake utakapomalizika mwishoni mwa msimu huu wa 2022/2023. Mguna alijiunga na Azam FC akitokea Gormahia ya kwako Kenya.
——————————————————————-
Kocha wa zamani wa vilabu vya Dodoma Jiji na Mbeya Kwanza Mbwana Makata anatajwa kuwa mrithi wa Charles Mkwasa βMasterβ aliyeachana na Ruvu Shooting FC.
———————————————————————-