Mabingwa wa Afrika, Wydad Club Athletic, maarufu kama Wydad Casablanca wakiwa Uwanja wa Ndege wa Mohamed V Jijini
Casablanca usiku wa Jana wakati wanaanza safari ya kuja Dar es Salaam kumenyana na wenyeji, Simba SC katika Robo Fainali ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika Jumamosi Uwanja wa Benjamín Мкара..
SOMA NA HII BAADA YA KUMBONDA VIPERS KWAKE....SIMBA WAANZA NGEBE UPYA...WATOA MSIMAMO WAO KWA CAF...