Home Habari za michezo JAMAA ASHINDA MIL 60 KWA KUCHEZA CASINO YA KWENYE SIMU YA MERIDIANBET..

JAMAA ASHINDA MIL 60 KWA KUCHEZA CASINO YA KWENYE SIMU YA MERIDIANBET..

Meridianbet

Meridianbet Kasino ya Mtandaoni imefanikiwa kumpata mshindi mkubwa wa kiasi cha Tsh 60,000,000/= baada ya kucheza sloti ya Aviator. Kasino ya Mtandaoni ni mgodi wa mkwanja kwa kila mtu anayecheza.

Maneno kidogo pesa nyingi kauli hii inathibitishwa na moja ya mteja wa Meridianbet (Jina lake limehifadhiwa) alicheza Sloti ya Aviator na kupiga Tsh 60,000,000/=, huyu jamaa yeye hucheza kasino ya mtandaoni lakini alivyojua kuhusu mchezo huu alianza kucheza mara kwa mara.

Huenda ukawa unajiuliza mwamba alipigaje mkwanja huu mrefu, ila ni rahisi sana alichokifanya ni kuweka dau lake dogo tu kisha akabonyeza kitufe cha kurusha ndege ya Aviator, alisubiri mpaka ndege ya Aviator ilipofika kwenye odds ya 200 aka-Cash Out. Aliendelea kufanya hivi mara tatu mfululizo ambapo kila raundi alikuwa akishinda Tsh 20,000,000/=

Kasino ya mtandaoni Meridianbet ina michezo mingi ambayo yote inakupa nafasi ya kushinda pesa na kuwa Milionea ukiachana na sloti ya Aviator kuna Poker/Karata, Roulette, Blackjack, Titan Dice na mingine mingi inakupa nafasi kuwa Tajiri bila mateso.

Kitu kingine kikubwa kutoka Meridianbet wanakupa ofa ya mizunguko 50 ya bure kwa mteja atakayejisajili na Meridianbet, mizunguko hii itakuwezesha kucheza sloti uzitakazo za kasino ya mtandaoni, Cheza hapa.

 NB: Bado hela zinaendelea kutoka kwenye Jakipoti kubwa ya mechi 13 kwa dau dogo la kuanzia 1,000/=TZS mshindi atajinyakulia donge nono la Tsh 85,000,000/= PIGA *149*10#

 #MERIDIANBET CHAGUA TUKUPE

SOMA NA HII  BARBARA GONZALEZ WA CHELSEA AJIUZULU ...BILIONEA MPYA ATAJA KUWA CHANZO...BOSI MWINGINE NAYE AKIMBIA...