Home Habari za michezo WAFCON KUTIMUA VUMBI LEO, TWIGA STARS KUSHUKA DIMBANI

WAFCON KUTIMUA VUMBI LEO, TWIGA STARS KUSHUKA DIMBANI

0

TIMU ya Taifa ya mpira wa miguu ya wanawake (Twiga Stars) leo inashuka dimbani katika mchezo wa kufuzu fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa wanawake(WAFCON 2024) .

Mchezo huo utafanyika kwenye uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam.

Mchezo wa marudiano utafanyika Togo Desemba 5, 2023.