Home Habari za michezo CAFYAWATILIA UGUMU WAPINZANI WA YANGA

CAFYAWATILIA UGUMU WAPINZANI WA YANGA

HALI TETE UWANJA WA MKAPA…MVUA KUBWA YANYESHA UWANJA UMEJAA MAJI

Shirikisho la soka Barani Afrika (CAF) limeukataa uwanja wa Cape Coast ambao klabu ya Medeama ilikuwa imepanga kuutumia katika michezo yake ya hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika.

Shirikisho la soka Barani Afrika (CAF) limeukataa uwanja wa Cape Coast ambao klabu ya Medeama ilikuwa imepanga kuutumia katika michezo yake ya hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika. Medeama imepangwa kundi D pamoja na klabu za Young Africans, Al Ahly na CR Belouzdad.

SOMA NA HII  MANCHESTER UNITED SASA YAMGEUKIA JAMES MADDISSON