Home Habari za michezo CHAMA AWACHANA MASHABIKI WANAOMSEMA MITANDAONI Habari za michezoHabari za SimbaHabari za Simba LeoMichezoMichezo BongoMichezo Soka la BongonewsSimba SCUncategorized CHAMA AWACHANA MASHABIKI WANAOMSEMA MITANDAONI By Staff Desk - December 22, 2023 9040 0 Disemba 21, 2023 Klabu ya Simba SC ilitoa taarifa ya kuwasimamisha wachezaji wake Clatous Chama na Nassor Kapama kwa makosa ya utovu wa Nidhamu. Mara baada ya kutoka kwa taarifa hiyo mashabiki wengi walikimbilia katika kurasa za kijamii za wachezaji hao na kutoa yaliyo katika mioyo yao. Sasa Clatous Chama ameonekana kujibizana na mashabiki hao kwa lugha ambazo zinaonesha kukosa ustaarabu.