admin
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA JUMANNE
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele Gazeti la SPOTI XTRA Jumanne
MUONEKANO WA UKURASA WA NYUMA GAZETI LA SPOTI XTRA JUMANNE
MUONEKANO wa Ukurasa wa nyuma Gazeti la SPOTI XTRA Jumanne
MANCHESTER UNITED, ARSENAL ZAWANIA SAINI YA MSENEGAL
MANCHESTER United imeripotiwa kwamba imeungana na Arsenal katika kuwania saini ya mshambuliaji wa Slavia Prague, Abdalah Sima.Sima mwenye umri wa miaka 19 amekuwa na...
MKATA UMEME LWANGA KUWAKOSA DODOMA JIJI LEO KWA MKAPA
KIUNGO Mkabaji wa Klabu ya Simba, Taddeo Lwanga ataukosa mchezo wa leo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Dodoma Jiji unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa...
ARGUERO ANATAKA KUJIUNGA NA BARCELONA
SERGIO Arguero, mshambuliaji wa kikosi cha Manchester City imeelezwa kuwa amewaambia watu wake wa karibu kwamba anataka kujiunga na Klabu ya Barcelona.Tayari imewekwa wazi...
MSIMAMO WA LIGI KUU TANZANIA BARA UPO NAMNA HII
MSIMAMO wa Ligi Kuu Tanzania Bara upo namna hii kwa sasa
KAMA ZALI VILE, TSHABALALA AINGIA ANGA ZA WASAUZI
HERRY Mzozo ambaye ni meneja wa beki wa kushoto wa Simba, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’, amesema kuwa mchezaji huyo anawindwa vikali na klabu za kutoka...
ISHU YA DUBE KUWEKWA RADA ZA YANGA, SIMBA NA RAJA IMEKAA...
WAKATI ikielezwa kuwa kinara wa utupiaji ndani ya Ligi Kuu Bara kwa sasa Prince Dube anapigiwa hesabu na timu mbalimbali ndani ya Bongo na...
VIDEO: HIVI NDIVYO YANGA INAVYOMKUMBUKA MORRISON,
MBOTO shabiki mkubwa wa Klabu ya Yanga amesema kuwa alikuwa anamlaumu Morrison, (Bernard) kwa makosa ambayo anayafanya ila kwa sasa anatamani hata Morrison angekuwepo...
VIDEO: SABABU YA YANGA KUFUNGWA NA AZAM HII HAPA, UBINGWA BADO
ALLY Kamwe mchambuzi wa masuala ya michezo amesema kuwa kupoteza kwa Yanga mbele ya Azam FC kwa kufungwa bao 1-0 ni somo kwao huku...