admin
SIMBA YATOA TAMKO KUHUSU HATMA YA LUIS NDANI YA KIKOSI HICHO
UONGOZI wa mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2019/20 Simba umesema kuwa ,kiungo wao Luis Miquissone amezivutia timu nyingi nje ya nchi...
KOCHA YANGA AMBAKISHA KIKOSINI MTUPIAJI NAMBA MOJA, DAVID MOLINGA
MWINYI Zahera, kocha wa zamani wa Yanga amesema kuwa anatamani kuona David Molinga akiendelea kubaki kuichezea Yanga msimu ujao kwa kuwa ni mchezaji mzuri...
KUMEKUCHA YANGA, MAJEMBE HAYA MANNE YA KAZI KUSEPA MAZIMA
INAELEZWA kuwa nyota wanne ndani ya Yanga msimu ujao hawatakuwa ndani ya kikosi hicho kutokana na sababu mbalimbali ambazo zimetajwa ikiwa ni pamoja na...
MASTAA WATANO WAPIGWA PANGA YANGA, MKUDE NA LUIS WANA JAMBO LAO,KESHO...
Kesho ndani ya Championi Jumatatu usipange kukosa nakala yako
MSIMAMO WA LIGI KUU TANZANIA BARA UPO NAMNA HII
MSIMAMO wa Ligi Kuu Tanzania Bara upo namna hii
YANGA YAANZA KUIVUTIA KASI MTIBWA SUGAR
YANGA imeanza kuivutia kasi Mtibwa Sugar kuelekea kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa Jumatano, Julai 22, Uwanja wa Jamhuri, Morogoro.Kikosi hicho kitaingia...
WABISHI MBAO FC WAPUNGUZIWA KASI NA WAJEDA
JKT Tanzania leo wameipunguzia kasi Mbao FC iliyo chini ya Kocha Mkuu, Felix Miziro ya kujinasua kwenye hatari ya kushuka daraja kwa kulazimisha sare...
LIPULI YAGAWANA POINTI MOJAMOJA NA AZAM FC SAMORA,IRINGA
PAUL Materazi nyota wa Lipuli FC ya Iringa alitibua mipango ya Azam FC kusepa na pointi tatu mazima kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara...
NDEMLA AIMALIZA ALLIANCE KWA KUKAMILISHA 5G TAIFA
SAID Ndemla, kiungo wa Simba leo amefunga bao lake la kwanza ndani ya msimu wa 2019/20 akimalizia pasi ya kiungo mwenzake Hassan Dilunga na...