admin
WAZIRI AKIWASHA, AIANGAMIZA MAZIMA MTIBWA SUGAR
WAZIR Junior, mshambuliaji namba moja ndani ya Mbao FC leo amefunga bao pekee la ushindi kwa timu yake mbele ya Mtibwa Sugar kwenye mchezo...
KESHO NDANI YA GAZETI LA SPOTI XTRA ALHAMISI
Kesho ndani ya Gazeti la Spoti Xtra Alhamisi
MABINGWA WA LIGI KUU BARA WATAJA WANAOSTAHILI KUSHUKURIWA KWA TAJI LAO...
UONGOZI wa Simba umesema kuwa shukran kubwa za kutwaa ubingwa wanazirejesha kwa Mungu pamoja na mashabiki wa Klabu hiyo kwa kuipa sapoti mwanzo mwisho.Leo...
VPL: KAGERA SUGAR 0-0 YANGA
Dakika ya 45 zimekamilika zinaongezwa dakika 2Dakika ya 42 Kagera Sugar wanaanzisha safari kwenda Kwa ShikhaloDakika ya 33 Nyosso anaonyeshwa kadi ya njano kwa...
KIKOSI CHA KAGERA SUGAR LEO DHIDI YA YANGA, KAITABA
KIKOSI cha Kagera Sugar dhidi ya Yanga leo Uwanja wa Kaitaba, Julai 8
VPL: NAMUNGO FC 0-0 SIMBA
Zinaongezwa dakika 3Dakika ya 45 John Kelvin wa Namungo anakosa kufunga ndani ya 18 kwa pasi ya Abeid ambaye alionyeshwa kadi dakika ya 43Dakika...
KIKOSI CHA YANGA LEO DHIDI YA KAGERA SUGAR
HIKI hapa kikosi cha Yanga kitakachoanza leo dhidi ya Kagera Sugar, Uwanja wa Kaitaba, Julai 8
KIKOSI CHA SIMBA LEO DHIDI YA NAMUNGO FC, KAKOLANYA NDANI
HIKI hapa kikosi cha Simba kitakachoanza leo dhidi ya Namungo FC Uwanja wa Majaliwa
DILI LA TSHISHIMBI NDANI YA SIMBA LIMEZIDI KUPAMBA MOTO, DAU LAKE...
UONGOZI wa Simba unavutana na kiungo wa Yanga, Mkongomani, Papy Tshishimbi, anayetaka dau la usajili la dola 50,000 (zaidi ya Sh mil 115) na...
MIKONO YA KIPA RAHIM WA MBAO FC NI MIAMIA, YAWEKA REKODI...
MIKONO ya Rahim Sheikh, kipa anayekipiga ndani ya Mbao FC inayonolewa na Felix Minziro maarufu kama Baba Isaya imeweka lango lake salama kwa muda...