admin
MASHINE YA KAZI YANGA YATUA LEO BUKOBA NA KUTINGA MAZOEZINI, KESHO...
LEO kikosi cha Yanga kimefanya mazoezi ya mwisho kwa ajili ya mchezo wa kesho, Julai 8 dhidi ya Kagera Sugar. Mchezo huo unatarajiwa kuwa na...
MAJEMBE MAWILI YA KAZI NAMUNGO KUIKOSA SIMBA KESHO,MMOJA ALIWATUNGUA YANGA TAIFA
NAMUNGO FC inayonolewa na Kocha Mkuu, Hitimana Thiery kesho inatarajiwa kuwakosa wachezaji wake wawili muhimu kutokana na kusumbuliwa na majeraha.Julai 8, itakuwa Uwanja wa...
SIMBA NA NAMUNGO FC WAPIGANA MIKWARA KABLA YA KUKUTANA KESHO, MAJALIWA
SVEN Vandenbroeck, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa wachezaji wake wapo tayari kumenyana na Namungo FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaopigwa Uwanja...
KUELEKEA MECHI NA SIMBA..MO BANKA AIPA NGUVU YANGA
Siku chache kabla ya kuvaana na Simba kwenye nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam, Yanga imepata nguvu baada ya kurejea kundini kwa...
TSHABALALA AACHWA SIMBA…SVEN ATAJWA KUWA CHANZO..!!
BEKI wa kushoto wa Simba, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ aliachwa hotelini na basi la timu hiyo Jumamosi jioni walipokuwa wanakwenda Uwanja wa Nangwanda Sijaona kufanya...
ISHU YA KAPOMBE SIMBA MAMBO MAGUMU,MRUNDI ATUMIKA YANGA, KESHO NDANI YA...
Kesho ndani ya Championi Jumatano
KAZI IMEANZA, YANGA YAWAPA MKWANJA WACHEZAJI WA KUTOSHA KUIMALIZA SIMBA
IMEELEZWA kuwa uongozi wa Yanga uwamewalipa wachezaji wake mishahara ya miezi miwili sambamba na bonasi zao za mechi za Ligi Kuu Bara na Kombe...
TFF YATOA TAMKO KUHUSU ISHU YA MORRISON KUDAI ALICHEZA MECHI MBILI...
KAMATI ya Katiba, Sheria na Hadhi za wachezaji ya Shirikisho la Soka nchini (TFF) imesema kwamba hakuna mchezaji aliyeruhusiwa kucheza ligi bila ya kuwa...
MGUNDA ATAJA KILICHOIPONZA COASTAL UNION KUFUNGWA MBELE YA MBEYA CITY
JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Coastal Union amesema kuwa sababu kubwa ya timu yake kupoteza kwa kufungwa mbele ya Mbeya City ni makosa ya...
SIMBA YAIPIGA MKWARA YANGA, HESABU ZAKE ZIPO NAMNA HII
KOCHA Mkuu wa Simba, Sven Vandenbroeck, ameweka wazi kwamba muda wa kuiwaza mechi hiyo bado haujafika kwa kuwa ana mechi ya kucheza kabla ya...