Home Authors Posts by admin

admin

25386 POSTS 9 COMMENTS

WAWILI WA SIMBA KUPIGWA CHINI JUMLAJUMLA

0
HASSAN Zadadu, mwenyekiti wa Klabu ya Namungo amesema kuwa Klabu hiyo itaachana na nyota wa Klabu ya Simba Mohamed Ibrahim na Paul Bukaba waliokuwa...

BREAKING;MORRISON ATUA MAKAO MAKUU YA YANGA

0
KIUNGO mshambuliaji wa Yanga Bernard Morrison ametua makao makuu ya Yanga ili kuzungumza masuala yanayomhusu.Morrison hakusafiri na timu ambayo ilicheza mchezo na Mwadui FC...

BERNARD MORRISON BADO PASUA KICHWA YANGA, KESHO KUIKOSA JKT TANZANIA

0
KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Bernard Morrison bado ni pasua kichwa kwa sasa kwani inaelezwa kuwa yupo kwenye hesabu za Simba jambo linalomfanya asiwe na...

SIMBA YAPANIA KUIBUKA NA USHINDI MBELE YA MWADUI FC

0
SVEN Vandenbroeck, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa wachezaji wake wapo tayari kwa ajili ya mechi zote zilizobaki ikiwa ni pamoja na ile ya...

WINGA WA CONGO ATAJA SIKU YA KUTUA YANGA

0
TUISILA Kisinda, winga anayekipiga AS Vita ya Congo amesea kuwa muda wowote kuanzia leo anaweza kutua Yanga.Hivi karibuni, Yanga chini ya Mkurugenzi wa Uwekezaji...

HUYU HAPA MRITHI WA JOHN BOCCO

0
NAHODHA wa Simba, John Bocco alikuwa wa kwanza kufunga bao  kwenye Uwanja wa zamani wa Azam Complex Chamazi, Agosti 20,2011 mbele ya Moro United.Bocco...

GWAMBINA FC YAPIGA HESABU ZA KUIBUKIA NDANI YA LIGI KUU BARA

0
UONGOZI wa Gwambina FC umesema kuwa malengo makubwa ni kuona inashiriki Ligi Kuu Bara msimu ujao kwa kuwa imejipanga kuona inafikia malengo hayo.Gwambina ipo...

PAPE GUEYE AWEKWA KWENYE RADA ZA WATFORD

0
PAPE Gueye, nyota wa timu ya Le Havre AC amewekwa kwenye rada za Klabu ya Watford ambayo imeonyesha nia ya kupata saini yake kwenye...

SIMBA INA MATUMAINI KIBAO KUFIKIA MALENGO YAKE

0
KOCHA Mkuu wa Simba, Sven Vandenbroeck amesema kuwa bado ana imani na kikosi chake licha ya kuambulia sare mbele ya Ruvu Shooting.Simba, Juni 14...
329,001FansLike
12,344FollowersFollow
16,900SubscribersSubscribe

EDITOR PICKS